745- Wameisimulia wengine kama maneno ya Ibn ´Umar, jambo ambalo ni sahihi:
“Kila mali ambayo unaitolea zakaah basi sio kulimbikiza ijapo itakuwa chini ya ardhi saba. Na kila mali ambayo huitolei zakaah basi huko ni kulimbikiza ijapo itakuwa inalealea juu ya ardhi.”[1]
Ameipokea al-Bayhaqiy.
[1] Swahiyh kama maneno ya Swahabah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/458)
- Imechapishwa: 15/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
745- Wameisimulia wengine kama maneno ya Ibn ´Umar, jambo ambalo ni sahihi:
“Kila mali ambayo unaitolea zakaah basi sio kulimbikiza ijapo itakuwa chini ya ardhi saba. Na kila mali ambayo huitolei zakaah basi huko ni kulimbikiza ijapo itakuwa inalealea juu ya ardhi.”[1]
Ameipokea al-Bayhaqiy.
[1] Swahiyh kama maneno ya Swahabah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/458)
Imechapishwa: 15/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/08-hadiyth-kila-mali-ambayo-unaitolea-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)