7- Kuepuka sehemu za maambukizi
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu tauni:
“Mkisikia kuhusu juu yake katika mji fulani, basi msiingie ndani yake. Na kikitokea katika mji fulani na nyinyi mko ndani yake, basi msitoke kwa kukikimbia.”[1]
Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mgonjwa asimwendee mzima.”[2]
[1] al-Bukhaariy (5729) na Muslim (2218).
[2] al-Bukhaariy na Muslim.
- Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 11
- Imechapishwa: 01/04/2020
7- Kuepuka sehemu za maambukizi
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu tauni:
“Mkisikia kuhusu juu yake katika mji fulani, basi msiingie ndani yake. Na kikitokea katika mji fulani na nyinyi mko ndani yake, basi msitoke kwa kukikimbia.”[1]
Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mgonjwa asimwendee mzima.”[2]
[1] al-Bukhaariy (5729) na Muslim (2218).
[2] al-Bukhaariy na Muslim.
Mhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Ashru Waswaayaa lil-Wiqaayah min-al-Wabaa’, uk. 11
Imechapishwa: 01/04/2020
https://firqatunnajia.com/07-kinga-ya-saba-ya-janga-la-corona-kuepuka-sehemu-za-maambukizi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)