c) Ni haramu kwa mwanamke wa Kiislamu kutia mwanya meno yake kwa ajili ya kutafuta urembo kwa chombo cha kupanulia ili atoe baina yake uwazi mdogo kwa ajili ya kutafuta uzuri.
Ama ikiwa meno yanaonekana vibaya na yanahitajia operesheni ya kuweka sawa kwa lengo la kuondesha muumbuko huu au meno yana maradhi ya kubadilisha rangi na akahitajia kuyafanya vizuri kwa lengo la kuondosha jambo hilo hakuna neno. Kwa sababu jambo hilo ni kwa lengo la matibabu na kuondosha muumbuko huu. Jambo hilo linafanyika kupitia daktari ambaye ni mtaalamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 21-22
- Imechapishwa: 22/10/2019
c) Ni haramu kwa mwanamke wa Kiislamu kutia mwanya meno yake kwa ajili ya kutafuta urembo kwa chombo cha kupanulia ili atoe baina yake uwazi mdogo kwa ajili ya kutafuta uzuri.
Ama ikiwa meno yanaonekana vibaya na yanahitajia operesheni ya kuweka sawa kwa lengo la kuondesha muumbuko huu au meno yana maradhi ya kubadilisha rangi na akahitajia kuyafanya vizuri kwa lengo la kuondosha jambo hilo hakuna neno. Kwa sababu jambo hilo ni kwa lengo la matibabu na kuondosha muumbuko huu. Jambo hilo linafanyika kupitia daktari ambaye ni mtaalamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 21-22
Imechapishwa: 22/10/2019
https://firqatunnajia.com/07-hukumu-ya-kutia-mwanya-kwenye-meno/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)