Swali 7: Upi usahihi wa Hadiyth:
“Amefungua mwenye kufanya chuku na mwenye kufanyiwa.”?
Jibu: Hadiyth hii ameisahihisha Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah), Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah, Ibn-ul-Qayyim na wahakiki wengine. Ni Swahiyh. Ni yenye yenye kuendana kwa njia ya kinadharia. Kwa sababu anayefanyiwa chuku anatokwa na damu nyingi zinazoudhoofisha mwili. Mwili unapodhoofika anahitajia chakula. Kwa hivyo mfungaji akihitaji kufanya chuku na akafanyiwa, basi tunamwambia afungue kwa kula na kunywa ili arudishe nguvu kwenye mwili. Akiwa si mwenye kuhitaji kufanya hivo basi tunamwambia asiumikwe ikiwa ni funga ya lazima kwa ajili ya kulinda nguvu zake mpaka pale atapofungua.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 14
- Imechapishwa: 11/04/2021
Swali 7: Upi usahihi wa Hadiyth:
“Amefungua mwenye kufanya chuku na mwenye kufanyiwa.”?
Jibu: Hadiyth hii ameisahihisha Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah), Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah, Ibn-ul-Qayyim na wahakiki wengine. Ni Swahiyh. Ni yenye yenye kuendana kwa njia ya kinadharia. Kwa sababu anayefanyiwa chuku anatokwa na damu nyingi zinazoudhoofisha mwili. Mwili unapodhoofika anahitajia chakula. Kwa hivyo mfungaji akihitaji kufanya chuku na akafanyiwa, basi tunamwambia afungue kwa kula na kunywa ili arudishe nguvu kwenye mwili. Akiwa si mwenye kuhitaji kufanya hivo basi tunamwambia asiumikwe ikiwa ni funga ya lazima kwa ajili ya kulinda nguvu zake mpaka pale atapofungua.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 14
Imechapishwa: 11/04/2021
https://firqatunnajia.com/07-hadiyth-ya-kwamba-kuumikwa-kunaharibu-swawm-ni-swahiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)