42- Abu Ayyuub al-Answaariy amesimulia kutoka kw ´Awf bin Malik ambaye amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu akiwa ni mwenye kuogopa akasema: “Nitiini muda wa kuwa bado niko kati yenu. Jilazimieni na Kitabu cha Allaah na halalisheni halali zake na haramisheni haramu zake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”. Wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/125)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
42- Abu Ayyuub al-Answaariy amesimulia kutoka kw ´Awf bin Malik ambaye amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu akiwa ni mwenye kuogopa akasema: “Nitiini muda wa kuwa bado niko kati yenu. Jilazimieni na Kitabu cha Allaah na halalisheni halali zake na haramisheni haramu zake.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr”. Wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/125)
Imechapishwa: 26/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-nitiini-muda-wa-kuwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)