1084- Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Huenda mfungaji fungu la swawm yake ni kushinda njaa na kiu. Huenda mwenye kusimama kuswali funga la swawm yake ni kukesha tu.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na ubaya wowote.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/625-626)
- Imechapishwa: 24/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1084- Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Huenda mfungaji fungu la swawm yake ni kushinda njaa na kiu. Huenda mwenye kusimama kuswali funga la swawm yake ni kukesha tu.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na ubaya wowote.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/625-626)
Imechapishwa: 24/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/06-hadiyth-huenda-mfungaji-fungu-la-swawm-yake-ni-kushinda-njaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)