Njia za kuepuka upondokaji huu zimefupika katika yafuatayo:
1- Kurudi katika Kitabu cha Allaah (´Azza wa Jall) na katika Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ili kupokea ´Aqiydah sahihi kutoka katika viwili hivyo kama ambavyo as-Salaf as-Swaalih walivyokuwa wakichota ´Aqiydah zao kutoka humo. Hautofaulu mwisho wa Ummah huu isipokuwa kwa kile kilichofanya wa mwanzo wao kufaulu. Sambamba na hilo watu wasome ´Aqiydah za mapote yaliyopinda, kujua shubuha zao kwa ajili ya kuziraddi na kuyatahadharisha. Kwa sababu yule asiyejua shari kuna khatari akatumbukia ndani yake.
2- Kutilia umuhimu wa kuisoma ´Aqiydah sahihi – ambayo ni ya as-Salaf as-Swaalih – katika hatua mbalimbali za masomo na kuipa silebasi ya kutosha ya mifumo na kutilia umuhimu wa hali ya juu katika mitihani ya mada hii.
3- Viwekwe vitabu vya Salafiyyah iliosafi na viwekwe mbali vitabu vya mapote potofu kama Suufiyyah, wazushi, Jahmiyyah, Mu´tazilah, Ashaa´irah, Maaturiydiyyah na wengineo. Isipokuwa kuvijua kwa lengo la kuraddi yale yaliyomo na kuvitahadharisha.
4- Walinganizi wenye kutengeneza kusimama kidete kwa ajili ya kuwahuishia watu ´Aqiydah ya Salaf na waraddi upotevu wa wale waliopinda kutokamana na hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 14-17
- Imechapishwa: 22/01/2020
Njia za kuepuka upondokaji huu zimefupika katika yafuatayo:
1- Kurudi katika Kitabu cha Allaah (´Azza wa Jall) na katika Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ili kupokea ´Aqiydah sahihi kutoka katika viwili hivyo kama ambavyo as-Salaf as-Swaalih walivyokuwa wakichota ´Aqiydah zao kutoka humo. Hautofaulu mwisho wa Ummah huu isipokuwa kwa kile kilichofanya wa mwanzo wao kufaulu. Sambamba na hilo watu wasome ´Aqiydah za mapote yaliyopinda, kujua shubuha zao kwa ajili ya kuziraddi na kuyatahadharisha. Kwa sababu yule asiyejua shari kuna khatari akatumbukia ndani yake.
2- Kutilia umuhimu wa kuisoma ´Aqiydah sahihi – ambayo ni ya as-Salaf as-Swaalih – katika hatua mbalimbali za masomo na kuipa silebasi ya kutosha ya mifumo na kutilia umuhimu wa hali ya juu katika mitihani ya mada hii.
3- Viwekwe vitabu vya Salafiyyah iliosafi na viwekwe mbali vitabu vya mapote potofu kama Suufiyyah, wazushi, Jahmiyyah, Mu´tazilah, Ashaa´irah, Maaturiydiyyah na wengineo. Isipokuwa kuvijua kwa lengo la kuraddi yale yaliyomo na kuvitahadharisha.
4- Walinganizi wenye kutengeneza kusimama kidete kwa ajili ya kuwahuishia watu ´Aqiydah ya Salaf na waraddi upotevu wa wale waliopinda kutokamana na hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 14-17
Imechapishwa: 22/01/2020
https://firqatunnajia.com/05-sura-ya-tatu-njia-za-kuepuka-kupinda-kutoka-katika-aqiydah-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)