Kuritadi ni kurejea. Mwenye kuritadi ni yule anayerejea kutoka katika dini yake. Afanye hivo ima kwa maneno, kuamini, kitendo au kwa kuwa na mashaka. Hii ndio misingi ya aina za kuritadi. Kunatawanyika kutoka katika misingi hii sampuli nyingi katika vitenguzi vya Uislamu.
Kuna baadhi ya wajinga au wapuuzi wanapinga mtu kuzungumzia katika kubainisha sababu zinazopelekea katika kuritadi kutoka katika Uislamu na wanamsifu yule mwenye kufanya hivo kwamba ni “Takfiyriy” au wanafikia mpaka kutahadharisha naye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 17-20
- Imechapishwa: 03/05/2018
Kuritadi ni kurejea. Mwenye kuritadi ni yule anayerejea kutoka katika dini yake. Afanye hivo ima kwa maneno, kuamini, kitendo au kwa kuwa na mashaka. Hii ndio misingi ya aina za kuritadi. Kunatawanyika kutoka katika misingi hii sampuli nyingi katika vitenguzi vya Uislamu.
Kuna baadhi ya wajinga au wapuuzi wanapinga mtu kuzungumzia katika kubainisha sababu zinazopelekea katika kuritadi kutoka katika Uislamu na wanamsifu yule mwenye kufanya hivo kwamba ni “Takfiyriy” au wanafikia mpaka kutahadharisha naye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 17-20
Imechapishwa: 03/05/2018
https://firqatunnajia.com/05-misingi-ya-sampuli-za-kuritadi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)