149- Jaabir bin ´Abdillaah ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Tahadharini kupiga kambi katika njia… [1], kwa sababu huko ndio kimbilio la majoka na wanyama wakali, na kukidhi haja juu yake, kwa sababu kunasababaisha kulaaniwa.”[2]
Ameipokea Ibn Maajah na wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Katika ile ya asili imekuja: ”… na kuswali juu yake… ”Nimeifuta kwa sababu sentesi hiyo amepwekeka nayo mpokezi ambaye ni dhaifu. Tazam “as-Swahiyhah” (2433).
[2] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/172)
- Imechapishwa: 10/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
149- Jaabir bin ´Abdillaah ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Tahadharini kupiga kambi katika njia… [1], kwa sababu huko ndio kimbilio la majoka na wanyama wakali, na kukidhi haja juu yake, kwa sababu kunasababaisha kulaaniwa.”[2]
Ameipokea Ibn Maajah na wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Katika ile ya asili imekuja: ”… na kuswali juu yake… ”Nimeifuta kwa sababu sentesi hiyo amepwekeka nayo mpokezi ambaye ni dhaifu. Tazam “as-Swahiyhah” (2433).
[2] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/172)
Imechapishwa: 10/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-tahadharini-kupiga-kambi-katika-njia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)