05. Hadiyth “Si katika wema kufunga safarini… “

1057- Ka´b bin ´Aaswim al-Ash´ariy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:

“Si katika wema kufunga safarini.”[1]

Ameipokea an-Nasaa´iy na Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi ambayo ni Swahiyh.

[1] Swahiyh.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/616)
  • Imechapishwa: 22/04/2020
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy