1083- Vilevile amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Huenda mfungaji hana kwa swawm yake zaidi ya kushinda njaa. Huenda mwenye kusimama kuswali hana kwa kusimama kwake kuswali zaidi ya kukesha.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah na tamko ni lake, an-Nasaa’iy, Ibn Khuzaymah katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim ambaye amesema:
“Ni Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy.”
Matamshi yake ni:
“Huenda mfungaji fungu la swawm yake ni kushinda njaa na kiu. Huenda mwenye kusimama kuswali funga la swawm yake ni kukesha tu.”[2]
al-Bayhaqiy ameipokea kwa tamko lisemalo:
“Huenda mwenye kusimama kuswali funga la swawm yake ni kukesha tu. Huenda mfungaji fungu la swawm yake ni kushinda njaa na kiu.”[3]
[1] Nzuri kupitia zengine.
[2] Nzuri kupitia zengine.
[3] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/625-626)
- Imechapishwa: 24/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1083- Vilevile amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Huenda mfungaji hana kwa swawm yake zaidi ya kushinda njaa. Huenda mwenye kusimama kuswali hana kwa kusimama kwake kuswali zaidi ya kukesha.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah na tamko ni lake, an-Nasaa’iy, Ibn Khuzaymah katika ”as-Swahiyh” na al-Haakim ambaye amesema:
“Ni Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy.”
Matamshi yake ni:
“Huenda mfungaji fungu la swawm yake ni kushinda njaa na kiu. Huenda mwenye kusimama kuswali funga la swawm yake ni kukesha tu.”[2]
al-Bayhaqiy ameipokea kwa tamko lisemalo:
“Huenda mwenye kusimama kuswali funga la swawm yake ni kukesha tu. Huenda mfungaji fungu la swawm yake ni kushinda njaa na kiu.”[3]
[1] Nzuri kupitia zengine.
[2] Nzuri kupitia zengine.
[3] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/625-626)
Imechapishwa: 24/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-huenda-mfungaji-hana-kwa-swawm-yake-zaidi-ya-kushinda-njaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)