996- Maalik bin al-Hasan bin Maalik bin al-Huwayrith amesimulia kutoka kwa baba yake ambaye na yeye amesimulia kutoka kwa baba yake akisema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipanda juu ya mimbari na akasema katika daraja ya kwanza: ”Aamiyn.” Halafu akasema katika daraja ya pili: ”Aamiyn.” Halafu akasema katika daraja ya tatu: ”Aamiyn.” Kisha akema: ”Jibriyl amenijia na akasema: ”Ee Muhammad! Allaah amweke mbali yule ambaye atakutana na Ramadhaan na asisamehewe!” Nikasema: ”Aamiyn.” Akasema: ”Allaah amweke mbali yule ambaye atawadiriki wazazi wake wawili, au mmoja katika wao, halafu akaingia Motoni!” Nikasema: ”Aamiyn.” Akasema: ”Allaah amweke mbali yule ambaye jina lako litatajwa mbele yake na asikuswalie.” Nikasema: ”Aamiyn.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh”.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/584)
- Imechapishwa: 13/05/2018
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
996- Maalik bin al-Hasan bin Maalik bin al-Huwayrith amesimulia kutoka kwa baba yake ambaye na yeye amesimulia kutoka kwa baba yake akisema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipanda juu ya mimbari na akasema katika daraja ya kwanza: ”Aamiyn.” Halafu akasema katika daraja ya pili: ”Aamiyn.” Halafu akasema katika daraja ya tatu: ”Aamiyn.” Kisha akema: ”Jibriyl amenijia na akasema: ”Ee Muhammad! Allaah amweke mbali yule ambaye atakutana na Ramadhaan na asisamehewe!” Nikasema: ”Aamiyn.” Akasema: ”Allaah amweke mbali yule ambaye atawadiriki wazazi wake wawili, au mmoja katika wao, halafu akaingia Motoni!” Nikasema: ”Aamiyn.” Akasema: ”Allaah amweke mbali yule ambaye jina lako litatajwa mbele yake na asikuswalie.” Nikasema: ”Aamiyn.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh”.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/584)
Imechapishwa: 13/05/2018
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/05-hadiyth-allaah-amweke-mbali-yule-ambaye-atakutana-na-ramadhaan-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)