Allaah (Ta´ala) amesema:
أَيَّامًا مَّعْدُودَاتٍ
“… [Kufunga ni] siku za kuhesabika.”[1]
Neno أَيَّامًا ni kitendo cha pili kwa sababu ya كتب. Imesemekana vilevile kuwa ni jenitifu kwa sababu ya sentesi inayofahamika في ايَّام معدوداتٍ .
Hizi siku zenye kuhesabika ndio mwezi wa Ramadhaan. Ni siku thelathini na inaanza pale tu ambapo mwezi unapoandama.
[1] 02:184
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tafsiyr Aayaat-is-Swiyaam, uk. 11
- Imechapishwa: 02/06/2017
Allaah (Ta´ala) amesema:
أَيَّامًا مَّعْدُودَاتٍ
“… [Kufunga ni] siku za kuhesabika.”[1]
Neno أَيَّامًا ni kitendo cha pili kwa sababu ya كتب. Imesemekana vilevile kuwa ni jenitifu kwa sababu ya sentesi inayofahamika في ايَّام معدوداتٍ .
Hizi siku zenye kuhesabika ndio mwezi wa Ramadhaan. Ni siku thelathini na inaanza pale tu ambapo mwezi unapoandama.
[1] 02:184
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tafsiyr Aayaat-is-Swiyaam, uk. 11
Imechapishwa: 02/06/2017
https://firqatunnajia.com/05-funga-ni-idadi-ya-masiku-yenye-kuhesabika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)