5- Abu ´Abdillaah al-Mu´addil Ahmad bin ´Umar bin ´Uthmaan ametuhadithia tulipokuwa Waasitw: ´Iysaa bin Abiy Harb ametuhadithia: Yahyaa bin Abiy Bukayr ametuhadithia: ´Abdul-Ghaffaar bin al-Qaasim ametuhadithia: ´Adiyy bin Thaabit amenihadithia: Zirr bin Hubaysh amenihadithia, kutoka kwa Ubayy bin Ka´b aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Moto hautoacha kuendelea kuuliza juu ya zaidi mpaka pale Atapouweka unyayo Wake. Hapo ndipo ukusanyike na useme: “Tosha, tosha.”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 40-41
- Imechapishwa: 21/10/2017
5- Abu ´Abdillaah al-Mu´addil Ahmad bin ´Umar bin ´Uthmaan ametuhadithia tulipokuwa Waasitw: ´Iysaa bin Abiy Harb ametuhadithia: Yahyaa bin Abiy Bukayr ametuhadithia: ´Abdul-Ghaffaar bin al-Qaasim ametuhadithia: ´Adiyy bin Thaabit amenihadithia: Zirr bin Hubaysh amenihadithia, kutoka kwa Ubayy bin Ka´b aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Moto hautoacha kuendelea kuuliza juu ya zaidi mpaka pale Atapouweka unyayo Wake. Hapo ndipo ukusanyike na useme: “Tosha, tosha.”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 40-41
Imechapishwa: 21/10/2017
https://firqatunnajia.com/05-dalili-juu-ya-mguu-wa-allaah-5/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)