4- Mara nyingi huapa kwa jina la Allaah kwa uongo na ulaghai. Wanaona kwamba mwenendo huo unanufaisha Da´wah yao wanayolingania kwayo. Wanachomaanisha ni kwamba Da´wah zote ni zenye kuihitajia na yenyewe haihitajii kitu. Kwa sababu Da´wah yao imeasisiwa na Hasan al-Bannaa. Mmoja katika washairi wao amesema:
al-Ikhwaan wana mnara
Kila kilichomo humo ni kizuri
Usiulze ni nani aliyeujenga
[1] Huku ni kuwa na msimamo wa kuvuka mipaka kwa Hasan al-Bannaa, mfumo wake na mifumo ya wafuasi wake. Kitu kilicho kizuri kwa ukamilifu ni kile tu kilichomo katika Kitabu kitukufu cha Allaah na Sunnah Swahiyh kutoka kwa mkarimu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[2] Imaam Swaalih al-Fawzaan amesema:
“Kijitabu hichi kilichoko mbele yetu kimeandikwa na ndugu yetu Shaykh Zayd bin Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy. Kinatahadharisha mifumo hii, kinabainisha athari zake mbaya na kinahimiza kushikamana barabara na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Allaah amjaze kheri na anufaishe kwa nasaha na maelekezo yake.” (Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 7)
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 17-18
- Imechapishwa: 25/03/2017
4- Mara nyingi huapa kwa jina la Allaah kwa uongo na ulaghai. Wanaona kwamba mwenendo huo unanufaisha Da´wah yao wanayolingania kwayo. Wanachomaanisha ni kwamba Da´wah zote ni zenye kuihitajia na yenyewe haihitajii kitu. Kwa sababu Da´wah yao imeasisiwa na Hasan al-Bannaa. Mmoja katika washairi wao amesema:
al-Ikhwaan wana mnara
Kila kilichomo humo ni kizuri
Usiulze ni nani aliyeujenga
Aliyeujenga ni Hasan[1][2]
[1] Huku ni kuwa na msimamo wa kuvuka mipaka kwa Hasan al-Bannaa, mfumo wake na mifumo ya wafuasi wake. Kitu kilicho kizuri kwa ukamilifu ni kile tu kilichomo katika Kitabu kitukufu cha Allaah na Sunnah Swahiyh kutoka kwa mkarimu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[2] Imaam Swaalih al-Fawzaan amesema:
“Kijitabu hichi kilichoko mbele yetu kimeandikwa na ndugu yetu Shaykh Zayd bin Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy. Kinatahadharisha mifumo hii, kinabainisha athari zake mbaya na kinahimiza kushikamana barabara na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Allaah amjaze kheri na anufaishe kwa nasaha na maelekezo yake.” (Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 7)
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 17-18
Imechapishwa: 25/03/2017
https://firqatunnajia.com/04-wanaapa-kwa-allaah-kwa-uongo-na-ulaghai/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)