Sharti ya nne ni mtu kuondosha hadathi, nako ni kule kutia wudhuu´ unaojulikana.
MAELEZO
Kuondosha hadathi inahusiana na ile hadathi kubwa na hadathi ndogo. Ni lazima kwa mswaliji awe msafi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Swalah haikubaliwi pasi na twahara.”[1]
Vilevile amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Swalah ya mmoja wenu haikubaliwi anapopatwa na hadathi mpaka atawadhe.”[2]
Hali ya hadathi inaondoshwa kwa maji ikiwa yatapatikana. Ikiwa maji hayakupatikana au yamepatikana lakini hayawezi kutumiwa, basi kunatakiwa kufanywe Tayammum.
[1] Muslim (224).
[2] al-Bukhaariy (135) na Muslim (225).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 64
- Imechapishwa: 24/06/2018
Sharti ya nne ni mtu kuondosha hadathi, nako ni kule kutia wudhuu´ unaojulikana.
MAELEZO
Kuondosha hadathi inahusiana na ile hadathi kubwa na hadathi ndogo. Ni lazima kwa mswaliji awe msafi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Swalah haikubaliwi pasi na twahara.”[1]
Vilevile amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Swalah ya mmoja wenu haikubaliwi anapopatwa na hadathi mpaka atawadhe.”[2]
Hali ya hadathi inaondoshwa kwa maji ikiwa yatapatikana. Ikiwa maji hayakupatikana au yamepatikana lakini hayawezi kutumiwa, basi kunatakiwa kufanywe Tayammum.
[1] Muslim (224).
[2] al-Bukhaariy (135) na Muslim (225).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 64
Imechapishwa: 24/06/2018
https://firqatunnajia.com/04-sharti-ya-nne-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)