36 – Imekuja katika Hadiyth:
”Allaah anapenda kuchemua na anachukia kwenda miayo.”[1]
37 – Allaah anapenda subira.
38 – Allaah anapendezwa na hilo.
39 – Allaah amekwishapanga riziki zote na muda wa kuishi.
40 – Hadiyth inasema kwamba Kifo kitachinjwa.
41 – Allaah anajifakharisha.
42 – Neno, matendo na roho hupanda Kwake.
43 – Hadiyth inasema kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisafirishwa mbinguni kwa mwili na roho yake.
44 – Alitazama Peponi a Motoni..
45 – Alifika kwenye ´Arshi bali mpaka juu ya ´Arshi. Kiasi cha kwamba hakukuwa kati yake yeye na Allaah isipokuwa pazia ya Utukufu.
46 – Mitume walidhihirishwa kwake.
47 – Matendo ya ummah wake yalidhihirishwa kwake.
[1] al-Bukhaariy (6223).
- Mhusika: Imaam Abul-Qaasim Sa´d bin ´Aliy bin Muhammad az-Zinjaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ajwibah fiy Usuul-id-Diyn, uk. 81-86
- Imechapishwa: 14/06/2021
36 – Imekuja katika Hadiyth:
”Allaah anapenda kuchemua na anachukia kwenda miayo.”[1]
37 – Allaah anapenda subira.
38 – Allaah anapendezwa na hilo.
39 – Allaah amekwishapanga riziki zote na muda wa kuishi.
40 – Hadiyth inasema kwamba Kifo kitachinjwa.
41 – Allaah anajifakharisha.
42 – Neno, matendo na roho hupanda Kwake.
43 – Hadiyth inasema kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisafirishwa mbinguni kwa mwili na roho yake.
44 – Alitazama Peponi a Motoni..
45 – Alifika kwenye ´Arshi bali mpaka juu ya ´Arshi. Kiasi cha kwamba hakukuwa kati yake yeye na Allaah isipokuwa pazia ya Utukufu.
46 – Mitume walidhihirishwa kwake.
47 – Matendo ya ummah wake yalidhihirishwa kwake.
[1] al-Bukhaariy (6223).
Mhusika: Imaam Abul-Qaasim Sa´d bin ´Aliy bin Muhammad az-Zinjaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ajwibah fiy Usuul-id-Diyn, uk. 81-86
Imechapishwa: 14/06/2021
https://firqatunnajia.com/04-mtume-alifika-juu-kabisa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)