Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanapita juu ya misingi ilio imara na wazi katika ´Aqiydah, matendo na matangamano. Misingi hii mikubwa imetolewa ndani ya Qur-aan na Sunnah na yale waliokuwemo Salaf wa Ummah huu katika Maswahabah, Taabi´uun na waliowafuata kwa wema. Misingi hii imefupishwa ifuatavyo:
1 – Kumuamini Allaah
2 – Malaika Wake
3 – Vitabu Vyake
4 – Mitume Yake
5 – Siku ya Mwisho
6 – Kuamini Qadar kheri na shari yake
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Usuwl ´Aqiydah Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 16
- Imechapishwa: 12/05/2022
Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanapita juu ya misingi ilio imara na wazi katika ´Aqiydah, matendo na matangamano. Misingi hii mikubwa imetolewa ndani ya Qur-aan na Sunnah na yale waliokuwemo Salaf wa Ummah huu katika Maswahabah, Taabi´uun na waliowafuata kwa wema. Misingi hii imefupishwa ifuatavyo:
1 – Kumuamini Allaah
2 – Malaika Wake
3 – Vitabu Vyake
4 – Mitume Yake
5 – Siku ya Mwisho
6 – Kuamini Qadar kheri na shari yake
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Usuwl ´Aqiydah Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 16
Imechapishwa: 12/05/2022
https://firqatunnajia.com/04-misingi-ya-ahl-us-sunnah-wal-jamaaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)