Mfumo wao juu ya yale majina ambayo Allaah amejiita nayo ikiwa ni miongoni mwa yale majina yanayopelekea katika sifa nyingine (المتعدية), basi miongoni mwa sharti zinazohakikisha imani juu yake wanaona yafuatayo:
1- Mtu aamini jina lile ambalo Allaah (´Azza wa Jall) amejiita nalo.
2- Mtu aamini yale yenye kufahamishwa na jina hilo. Ni mamoja iwe ufahamishaji unaopelekea katika sifa nyingine au wenye kulazimiana.
3- Mtu aamini athari za jina hilo katika yale yanayofahamishwa na jina kutokamana na sifa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy-´Aqiydah wal-´Amal, uk. 10
- Imechapishwa: 21/06/2019
Mfumo wao juu ya yale majina ambayo Allaah amejiita nayo ikiwa ni miongoni mwa yale majina yanayopelekea katika sifa nyingine (المتعدية), basi miongoni mwa sharti zinazohakikisha imani juu yake wanaona yafuatayo:
1- Mtu aamini jina lile ambalo Allaah (´Azza wa Jall) amejiita nalo.
2- Mtu aamini yale yenye kufahamishwa na jina hilo. Ni mamoja iwe ufahamishaji unaopelekea katika sifa nyingine au wenye kulazimiana.
3- Mtu aamini athari za jina hilo katika yale yanayofahamishwa na jina kutokamana na sifa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy-´Aqiydah wal-´Amal, uk. 10
Imechapishwa: 21/06/2019
https://firqatunnajia.com/04-mambo-matatu-juu-ya-majina-ya-allaah-yanayopelekea-katika-sifa-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)