1- Kumuamini Allaah: Ni kule mtu kuwa na imani ya kukata kabisa ya kwamba Yeye ndiye Mola na mfalme wa kila kitu, kwamba anasifika kwa sifa kamilifu zilizotakasika kutokamana na kila kasoro na upungufu na kwamba Yeye ndiye anastahiki kuabudiwa Mmoja pekee hali ya kuwa hana mshirika. Mtu anatakiwa kuyasimamisha hayo kiujuzi na kimatendo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah, uk. 07
- Imechapishwa: 07/02/2018
1- Kumuamini Allaah: Ni kule mtu kuwa na imani ya kukata kabisa ya kwamba Yeye ndiye Mola na mfalme wa kila kitu, kwamba anasifika kwa sifa kamilifu zilizotakasika kutokamana na kila kasoro na upungufu na kwamba Yeye ndiye anastahiki kuabudiwa Mmoja pekee hali ya kuwa hana mshirika. Mtu anatakiwa kuyasimamisha hayo kiujuzi na kimatendo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah, uk. 07
Imechapishwa: 07/02/2018
https://firqatunnajia.com/04-maana-ya-kuamini-nguzo-ya-kumuamini-allaah-kwa-mukhtasari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)