1082- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kufunga sio kuacha kula na kunywa. Funga kikweli ni mtu kuacha maneno na ya kipuuzi na yasiyokuwa na maana. Mtu akikutukana au akakufanyia ujinga, basi amwambie: “Mimi nimefunga. Mimi nimefunga.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah, Ibn Hibbaan na al-Haakim aliyesema:
“Ni Swahiyh juu ya sharti za Muslim.”
Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah imekuja kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usitukane ilihali umefunga. Mtu akikutukana basi mwambie: “Mimi nimefunga.” Na kama ulikuwa umesimama basi keti chini.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/625)
- Imechapishwa: 24/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1082- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kufunga sio kuacha kula na kunywa. Funga kikweli ni mtu kuacha maneno na ya kipuuzi na yasiyokuwa na maana. Mtu akikutukana au akakufanyia ujinga, basi amwambie: “Mimi nimefunga. Mimi nimefunga.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah, Ibn Hibbaan na al-Haakim aliyesema:
“Ni Swahiyh juu ya sharti za Muslim.”
Katika upokezi wa Ibn Khuzaymah imekuja kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usitukane ilihali umefunga. Mtu akikutukana basi mwambie: “Mimi nimefunga.” Na kama ulikuwa umesimama basi keti chini.”[2]
[1] Swahiyh.
[2] Nzuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/625)
Imechapishwa: 24/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/04-hadiyth-kufunga-sio-kuacha-kula-na-kunywa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)