147- Ibn ´Abbaas ameeleza kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Tahadharini na sehemu tatu zilizolaaniwa. Kukasemwa: “Ni zipi sehemu tatu hizo zilizolaaniwa, ee Mtume wa Allaah? Akasema: “Mmoja wenu akikidhi haja katika kivuli kinachotumiwa, katika njia au karibu na maji.”[1]
Ameipokea Ahmad.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/171-172)
- Imechapishwa: 10/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
147- Ibn ´Abbaas ameeleza kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Tahadharini na sehemu tatu zilizolaaniwa. Kukasemwa: “Ni zipi sehemu tatu hizo zilizolaaniwa, ee Mtume wa Allaah? Akasema: “Mmoja wenu akikidhi haja katika kivuli kinachotumiwa, katika njia au karibu na maji.”[1]
Ameipokea Ahmad.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/171-172)
Imechapishwa: 10/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-tahadharini-na-sehemu-tatu-zilizolaaniwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)