685- at-Twabaraaniy amepokea katika “al-Kabiyr” kupitia kwa Abu Maalik al-Ash´ariy aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah ya ijumaa inafuta yale yaliyoko kati yake mpaka swalah ya ijumaa nyingine na ukiongezea na siku tatu. Kwa kuwa Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
مَن جَاء بِالْحَسَنَةِ فَلَهُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا
“Atayefanye tendo jema basi analipwa kumi mfano wake.”[1][2]
[1] 06:160
[2] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/431)
- Imechapishwa: 20/01/2017
685- at-Twabaraaniy amepokea katika “al-Kabiyr” kupitia kwa Abu Maalik al-Ash´ariy aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalah ya ijumaa inafuta yale yaliyoko kati yake mpaka swalah ya ijumaa nyingine na ukiongezea na siku tatu. Kwa kuwa Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
مَن جَاء بِالْحَسَنَةِ فَلَهُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا
“Atayefanye tendo jema basi analipwa kumi mfano wake.”[1][2]
[1] 06:160
[2] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/431)
Imechapishwa: 20/01/2017
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-swalah-ya-ijumaa-inafuta-yale-yaliyoko-kati-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)