140- Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Tulikuwa tumeketi nje ya mlango wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na tukibishana; mmoja anajengea hoja kwa Aayah moja na mwingine anajengea hoja kwa Aayah nyingine. Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akajitokeza kwetu, uso wake umepiga wekundu kama mkomamanga, akasema: “Ee nyinyi! Haya ndio mmetumilizwa kwayo? Haya ndio mmeamrishwa? Msirejei baada yangu kuwa makafiri baadhi wakizipiga shingo za wengine.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy. Katika cheni ya wapokezi yuko Suwayd[2].
[1] Swahiyh kupitia zengine.
[2] Yaani Suwayd bin Ibraahiym Abu Haatim ambaye ana unyonge, kama ilivyo katika Hadiyth ilioko kabla yake. Lakini at-Twabaraaniy ameipokea tena kutoka kwa Anas na katika cheni ya wapokezi hiyo wapokezi wote ni waaminifu na imara, kama ilivyotajwa katika “Majma´-uz-Zawaaid” (01/157). Pia Ibn Maajah na Ahmad wameipokea kupitia kwa Ibn ´Amr kwa cheni ya wapokezi nzuri. Kwa hiyo Hadiyth ni Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/169)
- Imechapishwa: 07/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
140- Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Tulikuwa tumeketi nje ya mlango wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na tukibishana; mmoja anajengea hoja kwa Aayah moja na mwingine anajengea hoja kwa Aayah nyingine. Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akajitokeza kwetu, uso wake umepiga wekundu kama mkomamanga, akasema: “Ee nyinyi! Haya ndio mmetumilizwa kwayo? Haya ndio mmeamrishwa? Msirejei baada yangu kuwa makafiri baadhi wakizipiga shingo za wengine.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy. Katika cheni ya wapokezi yuko Suwayd[2].
[1] Swahiyh kupitia zengine.
[2] Yaani Suwayd bin Ibraahiym Abu Haatim ambaye ana unyonge, kama ilivyo katika Hadiyth ilioko kabla yake. Lakini at-Twabaraaniy ameipokea tena kutoka kwa Anas na katika cheni ya wapokezi hiyo wapokezi wote ni waaminifu na imara, kama ilivyotajwa katika “Majma´-uz-Zawaaid” (01/157). Pia Ibn Maajah na Ahmad wameipokea kupitia kwa Ibn ´Amr kwa cheni ya wapokezi nzuri. Kwa hiyo Hadiyth ni Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/169)
Imechapishwa: 07/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-haya-ndio-mmetumilizwa-kwayo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)