1075- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Dini haitoacha kuwa yenye kushinda muda wa kuwa watu wanaharakisha kufuturu. Kwani mayahudi na wakristo huchelewesha.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud, Ibn Maajah, Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” zao. Katika upokezi wa Ibn Maajah imekuja:
“Watu hawatoacha kuwa juu ya kheri… “
[1] Nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/622)
- Imechapishwa: 24/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1075- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Dini haitoacha kuwa yenye kushinda muda wa kuwa watu wanaharakisha kufuturu. Kwani mayahudi na wakristo huchelewesha.”[1]
Ameipokea Abu Daawuud, Ibn Maajah, Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” zao. Katika upokezi wa Ibn Maajah imekuja:
“Watu hawatoacha kuwa juu ya kheri… “
[1] Nzuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/622)
Imechapishwa: 24/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-dini-haitoacha-kuwa-yenye-kushinda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)