91- Imepokelewa kutoka kwa Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitutolea Khutbah kwenye msikiti wa Khayf huko Minaa ambapo akasema:
“Allaah ampambe mtu ambaye amesikia maneno yangu ambapo akayahifadhi, akayaelewa kisha akamfikishia yule ambaye bado hajayasikia. Huenda ambaye amebeba uelewa yeye mwenyewe sio mwelewa. Huenda ambaye amebeba uelewa akamfikishia ambaye ana uelewa zaidi kuliko yeye.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw”.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/147-148)
- Imechapishwa: 01/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
91- Imepokelewa kutoka kwa Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitutolea Khutbah kwenye msikiti wa Khayf huko Minaa ambapo akasema:
“Allaah ampambe mtu ambaye amesikia maneno yangu ambapo akayahifadhi, akayaelewa kisha akamfikishia yule ambaye bado hajayasikia. Huenda ambaye amebeba uelewa yeye mwenyewe sio mwelewa. Huenda ambaye amebeba uelewa akamfikishia ambaye ana uelewa zaidi kuliko yeye.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw”.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/147-148)
Imechapishwa: 01/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-allaah-ampambe-mtu-ambaye-amesikia-maneno-yangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)