38- Abu Shurayh al-Khuzaa´iy amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu na akasema: “[Pateni bishara!] Nyinyi hamshuhudii ya kwamba hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah na kwamba mimi ni Mtume wa Allaah?” Tukasema: “Ndio.” Akasema: “Hakika hii Qur-aan [ni kamba]; ncha yake moja iko mikononi mwa Allaah na ncha yake nyingine iko mikononi mwenu. Shikamaneni nayo; hakika hamtopotea na wala hamtoangamia baada yake kamwe.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi nzuri[2].
[1] Swahiyh.
[2] Imepokelewa vilevile na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na Ibn Naswr katika ”Qiyaam-ul-Layl” kwa cheni ya wapokezi Swahiyh. Ziada mbili ziko kwa wote wawili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/453)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
38- Abu Shurayh al-Khuzaa´iy amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alijitokeza kwetu na akasema: “[Pateni bishara!] Nyinyi hamshuhudii ya kwamba hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah na kwamba mimi ni Mtume wa Allaah?” Tukasema: “Ndio.” Akasema: “Hakika hii Qur-aan [ni kamba]; ncha yake moja iko mikononi mwa Allaah na ncha yake nyingine iko mikononi mwenu. Shikamaneni nayo; hakika hamtopotea na wala hamtoangamia baada yake kamwe.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi nzuri[2].
[1] Swahiyh.
[2] Imepokelewa vilevile na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” na Ibn Naswr katika ”Qiyaam-ul-Layl” kwa cheni ya wapokezi Swahiyh. Ziada mbili ziko kwa wote wawili.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/453)
Imechapishwa: 26/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-pateni-bishara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)