Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
“Tambua ya kwamba mambo yanayochengua Uislamu ni kumi.”
MAELEZO
Hapa kunaamrishwa elimu. Elimu ni hukumu ya akilini kwa njia ya kukata. Bi maana yakini. Kwa msemo mwingine tambua na uwe na yakini ya kwamba Uislamu unachenguka kwa kufanya moja katika mambo haya kumi yenye kuchengua Uislamu. Kuwa na elimu kinyume chake ni kuwa na dhana. Elimu kwa maana nyingine ni yakini. Kuwa na yakini na utambue kuwa mtu akifanya moja katika mambo haya kumi yenye kuchengua Uislamu anatoka katika Uislamu. Kuwa na utambuzi wa kukata kabisa pasi na shaka, ubabaikaji na dhana. Bali kinyume chake unatakiwa utambue kwa kukata kabisa ya kwamba Uislamu unachenguka kwa kufanya moja katika mambo haya kumi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tabswiyr-ul-Anaam bisharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 11
- Imechapishwa: 09/04/2023
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
“Tambua ya kwamba mambo yanayochengua Uislamu ni kumi.”
MAELEZO
Hapa kunaamrishwa elimu. Elimu ni hukumu ya akilini kwa njia ya kukata. Bi maana yakini. Kwa msemo mwingine tambua na uwe na yakini ya kwamba Uislamu unachenguka kwa kufanya moja katika mambo haya kumi yenye kuchengua Uislamu. Kuwa na elimu kinyume chake ni kuwa na dhana. Elimu kwa maana nyingine ni yakini. Kuwa na yakini na utambue kuwa mtu akifanya moja katika mambo haya kumi yenye kuchengua Uislamu anatoka katika Uislamu. Kuwa na utambuzi wa kukata kabisa pasi na shaka, ubabaikaji na dhana. Bali kinyume chake unatakiwa utambue kwa kukata kabisa ya kwamba Uislamu unachenguka kwa kufanya moja katika mambo haya kumi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tabswiyr-ul-Anaam bisharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 11
Imechapishwa: 09/04/2023
https://firqatunnajia.com/01-uwajibu-wa-kuyajua-mambo-kumi-yanayotengua-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)