67- Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule ambaye Allaah anamtakia kheri basi humfanya akaielewa dini.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Ibn Maajah. at-Twabaraaniy pia ameipokea katika “al-Kabiyr” kwa muundo usemao: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Enyi watu! Hakika elimu [hufikiwa] kwa kujifunza na uelewa [hufikiwa] kwa kuelewa. Yule ambaye Allaah anamtakia kheri basi humfanya akaielewa dini na:
إِنَّمَا يَخْشَى اللَّـهَ مِنْ عِبَادِهِ الْعُلَمَاءُ
“Hakika wanaomkhofu Allaah miongoni mwa waja Wake ni wanazuoni.”[2][3]
Katika cheni ya wapokezi kuna mpokezi asiyetambulika[4].
[1] Swahiyh.
[2] 35:28
[3] Nzuri kupitia zengine.
[4] Ina njia zengine na mapokezi yanayoitolea ushahidi yanayotilia nguvu. Tazama ”as-Swahiyhah” (342).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/136)
- Imechapishwa: 02/09/2018
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
67- Mu´aawiyah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule ambaye Allaah anamtakia kheri basi humfanya akaielewa dini.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy, Muslim na Ibn Maajah. at-Twabaraaniy pia ameipokea katika “al-Kabiyr” kwa muundo usemao: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Enyi watu! Hakika elimu [hufikiwa] kwa kujifunza na uelewa [hufikiwa] kwa kuelewa. Yule ambaye Allaah anamtakia kheri basi humfanya akaielewa dini na:
إِنَّمَا يَخْشَى اللَّـهَ مِنْ عِبَادِهِ الْعُلَمَاءُ
“Hakika wanaomkhofu Allaah miongoni mwa waja Wake ni wanazuoni.”[2][3]
Katika cheni ya wapokezi kuna mpokezi asiyetambulika[4].
[1] Swahiyh.
[2] 35:28
[3] Nzuri kupitia zengine.
[4] Ina njia zengine na mapokezi yanayoitolea ushahidi yanayotilia nguvu. Tazama ”as-Swahiyhah” (342).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/136)
Imechapishwa: 02/09/2018
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-yule-ambaye-allaah-anamtakia-kheri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)