1053- Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mwaka ulipofunguliwa mji wa Makkah Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitoka kuelekea Makkah katika Ramadhaan. Watu walikuwa wamefunga. Mpaka alipofika Kuraa´-ul-Ghamiym akaomba chombo cha maji. Akakinyanyua ili watu wapate kumuona kisha akakinywa. Baada ya hapo akaambiwa kuwa kuna watu waliofunga ambapo akasema: “Hao ni waasi. Hao ni waasi.”[1]
Katika upokezi mwingine imekuja:
“Akaambiwa: “Baadhi ya watu swawm imekuwa ngumu kwao na wanasubiri waone utachofanya.” Ndipo akaomba chombo cha maji baada ya ´Aswr.”
Ameipokea Muslim.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/587)
- Imechapishwa: 21/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1053- Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mwaka ulipofunguliwa mji wa Makkah Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitoka kuelekea Makkah katika Ramadhaan. Watu walikuwa wamefunga. Mpaka alipofika Kuraa´-ul-Ghamiym akaomba chombo cha maji. Akakinyanyua ili watu wapate kumuona kisha akakinywa. Baada ya hapo akaambiwa kuwa kuna watu waliofunga ambapo akasema: “Hao ni waasi. Hao ni waasi.”[1]
Katika upokezi mwingine imekuja:
“Akaambiwa: “Baadhi ya watu swawm imekuwa ngumu kwao na wanasubiri waone utachofanya.” Ndipo akaomba chombo cha maji baada ya ´Aswr.”
Ameipokea Muslim.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/587)
Imechapishwa: 21/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyth-hao-ni-waasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)