145- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Tahadharini na walaaniwa wawili?” Wakasema: “Ni kina nani walaaniwa wawili, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Ni yule anayefanya haja yake katika njia za watu au katika vivuli vyao.”[1]
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud na wengineo.
Walaaniwa kwa sababu wamelaaniwa na ni wenye kuchukiwa kwa sababu ya matendo yao.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/171)
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
145- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Tahadharini na walaaniwa wawili?” Wakasema: “Ni kina nani walaaniwa wawili, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Ni yule anayefanya haja yake katika njia za watu au katika vivuli vyao.”[1]
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud na wengineo.
Walaaniwa kwa sababu wamelaaniwa na ni wenye kuchukiwa kwa sababu ya matendo yao.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/171)
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/01-hadiyh-tahadharini-na-wanaaliwaji-wawili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)